Our Blog

06 Nov

2021

Wawindaji wanne waliokuwa wanashirikiana kufanya kazi na kila walichokipata waligawana sawasawa.
Walitumia vifaa vya asili kuwinda wanyama na walifanikiwa kwa kuwa waliishi katika kijiji kilichopo pembezoni mwa msitu mnene wenye kusheheni miti mirefu na wanyama mbalimbali.

Hadithi hii inaelezea tatizo la wananchi kujichukulia sheria mkononi na kuwahukumu raia wenzao wakiamini ni wakosaji; na kusababisha kuwadhuru watu wasio na hatia. Toa taarifa za matukio mabaya sehemu husika na kuviachia vyombo vya usalama ili kujiridhisha na kumbaini mharifu halisi.

Ilifikia hadi baadhi ya wawindaji hao kuwa kero wanapofanya usumbufu kwa wakulima pindi wanaposhambulia na kuharibifu mazao yao.

Recent Posts

Msitu Wa Maajabu

Safari Ya Mikumi

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimwache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved