Our Blog

06 Nov

2021

Jumanne Katika Msitu Wa Maajabu

Ndani ya msitu huo kuna maajabu mbalimbali ikiwemo binadamu kuheshimu wanyama pori kama vile Simba na Kiboko katika ulinzi wa maisha yao ya kila siku. Simba huyo wanamwita Nakanji, na Kiboko nae anajulikana kwa jina la Kimombo.

Tamthiliya hii inahusu utamaduni wa jamii ya watu wanaoishi katika msitu wa Mtonyange ambao ni miongoni mwa hifadhi ndogo za pori tengefu la Selous Mkoani Lindi.

Je, simba ataweza kulinda binadamu?.

Recent Posts

Hasira Hasara

Safari Ya Mikumi

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimwache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved