Our Blog

06 Nov

2021

Safari Ya Mikumi

Ben alikuwa nje ya nyumba anapakia mizigo mbalimbali kwenye gari yake kibanda-wazi, anapiga mluzi “swi swi swi”.

Mara alitokea mwanawe mkubwa jina lake Joseph akiwa amebeba mfuko halafu nyuma yake alifuata Jane ambaye nae alibeba mfuko na doli lenye kumzidi umbo. Walivaa nguo nzuri za kupendeza.

Baada ya kupakia mizigo yote, na wao wenyewe walipanda garini haraka, dakika kadhaa zilipita kabla ya mama na mtoto mchanga mwenye umri wa mwaka mmoja kufika kwenye gari..

Hadithi hii inaihusu familia moja ya Bwana Ben Mkazi wa Jijini Dar-es-salaam, aliyeamua kufanya utalii wa ndani kwa kuipeleka familia hiyo kutembelea Mbuga ya wanyama ya Mikumi.

Fatilia zaidi kitabu hiki kuweza kujua nini kilichotokea.

Recent Posts

Msitu Wa Maajabu

Usimuache Atoke

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimuache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved