Our Blog

Ijumaa

9:00Pm

Usikose kutazama kipindi cha Kidani kinacholetwa na television yako pendwa ya Azam TV.

Muda: Kila siku ya Ijumaa Saa 03:00 kamili usiku.


1.Mada

Kipindi kinahusu shughuli za wanawake na wasichana, na mapambano yao katika kutafuta maendeleo, wageni waalikwa katika kipindi hiki wanazungumzia uandishi wa vitabu nchini na changamoto wanazokutana nazo waandishi wa vitabu wa kike.


4. Mtangazaji wa kipindi

Sauda Swalehe kutoka Azam TV


2. Wageni waalikwa wa kipindi

Mwanawetu Mmuni, na waandisi mbalimbali wa vitabu na habari wa kike.


Mwanawetu Mmuni:
Nilialikwa kwa sababu nimekuwa kiongozi wa kwanza mwanamke wa Umoja Wa Waandishi Wa Vitabu Tanzania (Tanzania Writers Association), tangu umoja huo ulipoanzishwa mwaka 1979.


Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana nasi kupitia;

Namba ya simu ya mkononi: +255 737 966996
Barua pepe: info@mwanawetubooks.co.tz

Recent Posts

Msitu Wa Maajabu

Safari Ya Mikumi

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimuache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved