man

Posted by: Admin

2022-02-10
Share this:
blog

Usikose kutazama kipindi cha Kidani kinacholetwa na television yako pendwa ya Azam TV.

man

Posted by: Admin

2022-02-10
Share this:
blog

Hadithi hii inaihusu familia moja ya Bwana Ben Mkazi wa Jijini Dar-es-salaam, aliyeamua kufanya utalii wa ndani kwa kuipeleka familia hiyo kutembelea Mbuga ya wanyama ya Mikumi.

man

Posted by: Admin

2022-02-10
Share this:
blog

Tukiwa tunaelekea siku ya Kiswahili duniani, Mwanawetu Books and Consultancy imeandaa shindano la uandishi wa hadithi fupi kwa Wanafunzi wa Shule za Sekondari.

man

Posted by: Admin

2022-02-10
Share this:
blog

Usimuache Atoke (Don't Let Him Go Out), ni tamthiliya inayohusu mahusiano, mapenzi, usaliti, furaha, na visa katika jamii, iliyotungwa na mwandishi mahiri wa vitabu Mwanawetu Mmuni.

man

Posted by: Admin

2022-02-10
Share this:
blog

Lengo kuu la maktaba hii ya Mwanawetu Books ni kuenzi na kuiendeleza lugha ya Kiswahili, katika kutimiza lengo hili, MBC imeshirikisha Wanafunzi wa ngazi ya Shule za Sekondari kufanyia kazi mada walizosoma wakiwa shuleni.