Our Blog

06 Nov

2021

Shida yao kubwa ilikuwa kuishi mbali na kijiji ambacho huduma za kijamii ikiwemo shule na zahanati zinapatikana.

Hivyo watoto hao walitumia muda mwingi kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shuleni.

Tamthiliya hii inahusu changamoto walizopitia watoto wawili Ken mwenye umri wa miaka kumi na dada yake Kandi mwenye umri wa miaka saba.

Waliishi katika misitu ya Ukanda wa Kitropiki, pwani ya Bahari ya Hindi jirani na kijiji cha Malendego wilayani Kilwa.

Recent Posts

Hasira Hasara

Safari Ya Mikumi

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimwache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved