Our Blog

06 Nov

2021

Tamthilia hii inawahusu wanandoa wawili; Jesca na Kelvin, wanaoishi Mbezi Beach kwenye nyumba yao ya kifahari.

Katika miaka kumi ya ndoa yao; wamebahatika kupata mtoto mmoja.

Jesca alitambulisha kazi yake ni Meneja masoko katika kampuni binafsi jijini Dar-es-salaam, wakati Kelvin ni Mfanyabiashara wa magari, vipuri vya magari, na vifaa vya umeme kutoka nchi za nje hasa China na Japan.

Ingawa walikuwa wanafanyakazi hizo zinazotambulika, lakini kila mmoja alikuwa na kazi nyingine ya siri, fatilia kitabu hiki kuweza kujua zaidi.

Recent Posts

Hasira Hasara

Safari Ya Mikumi

Kiburi Chaponza

98 comments

  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Very interesting story, thanks to the author of "Usimwache Atoke"

    Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    We need more of these stories for learning in a day to day life

    Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      More book stories to come and we are working on bringing more to our audience for further learning and self development

      Reply
    • Mwanawetu-(Admin)

      NOVEMBER 06, 2021

      Keep on visiting our website for latest updates

      Reply
  • Frank Mgimba

    NOVEMBER 06, 2021

    Thank you

    Reply

Write Your Review

stay up-to-dated

Copyrights © 2022-mwanawetubooks.co.tz - All Rights Reserved